Maandamano hayajawahi kujenga shule, maandamano hayajawahi kuleta Elimu, maandamano hayajawahi kushusha vitu bei maduka bali maandamano ni Vurugu yaani kuondoka Amani na wale wanaodai demokrasia wanapaswa kwenda kutii tu kanuni zao za Bunge’
‘Kwahiyo kwenye mkoa wetu si tu tarehe 1 basi hakuna mtu kuzurura mahali popote pale, Ukuta ni kiwango cha mwisho cha mtu kufikiri sasa ndio maana wenzetu wameshindwa mwisho wa siku wanatafuta fursa kwa viongozi wa dini kutafuta muafaka’
‘Mimi nafikiri naomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania afanye kazi na atekeleze aliyoyasema kipindi cha uchaguzi ili vijana afanye kazi katika viwanda mbalimbali tuachane na mambo ya UKUTA bali tuangalie vitu vya maendeleo’
‘Kwahiyo kwenye mkoa wetu si tu tarehe 1 basi hakuna mtu kuzurura mahali popote pale, Ukuta ni kiwango cha mwisho cha mtu kufikiri sasa ndio maana wenzetu wameshindwa mwisho wa siku wanatafuta fursa kwa viongozi wa dini kutafuta muafaka’
‘Mimi nafikiri naomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania afanye kazi na atekeleze aliyoyasema kipindi cha uchaguzi ili vijana afanye kazi katika viwanda mbalimbali tuachane na mambo ya UKUTA bali tuangalie vitu vya maendeleo’
Maoni ya RC Makonda baada ya maandamano ya UKUTA kuahirishwa
4/
5
Oleh
SEEKER